BREKING NEWS: WANACHAMA WA SIMBA WAMEBARIKI MFUMO WA MABADILIKO.
Katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Juliaus Nyerere wanachama hao walikuwa na kazi ya kubadiriki mabadaliko hayo ambayo vuguvugu lake limeanza takribani mwaka mmoja umepita.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram msemaji wa klabu hiyo Haji Manara ameandika ameneno yafuatayo "wanachama wamebariki na kupitisha rasmi mfumo wa mabadiliko kwa kura nyingi za kishindo THISN IS SIMBA".
Hatua hiyo inakuwa kama mlango wa mfanyabiashara na bilionea kijana barana Afrika Mohamed Dewj 'MO" kuwekeza hisa zake kwani kwa muda mrwefu amekuwa akihitaji suala hilo. Sasa tusibiri truone je, "MO" atapewa timu?
Hatua hiyo inakuwa kama mlango wa mfanyabiashara na bilionea kijana barana Afrika Mohamed Dewj 'MO" kuwekeza hisa zake kwani kwa muda mrwefu amekuwa akihitaji suala hilo. Sasa tusibiri truone je, "MO" atapewa timu?
No comments