OKWI KUUKOSA MCHEZO WA SIMBA NA AZAM, SABABU HII HAPA
Mshambuliaji wa Klabu ya Simba,Emmanuel Okwi wenda akaukosa mchezo ujao wa ligi dhidi ya Azam fc kutokana kwamba atakuwa kwenye timu yake ya Taifa ya Uganda.
Uganda inakabiliwa na mechi mbili za kufuzu fainali ya kombe la dunia dhidi ya Misri.Wataikaribisha misri siku ya Alhamisi Agost 31,2017 jijini kampala kabla ya kuridiana ugenini siku ya jumanne September 5,ikiwa ni masaa 24 kabla ya pambano la Simba na Azam
No comments