BREAKING NEWS:AJALI ,DALADALA IMEGONGANA NA TRENI MOROGORO MJINI,WATU KADHAA WAMEFARIKI
Kwa mujibu wa ripota wetu Ndugu Erneo Gwandiko ambae alifika katika eneo la tukio amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa moja asubuhi ya leo Agosti 23.
Treni hiyo ilikuwa ikitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam
Treni hiyo ilikuwa ikitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam
Inasemekana kuwa kuna watu kadhaa wamefariki kutokana na ajali hiyo lakini bado haijajulikana idadi yao.
Dereva wa dalala ambao ameonekana kuwa chanzo cha ajali hiyo amekimbia kusikojulikana.
Majeruhi na waliofariki wamepelekwa katika hospitali yamkoa wa morogoro
Majeruhi na waliofariki wamepelekwa katika hospitali yamkoa wa morogoro
Taarifa kamili tukuletea hapo baadae
No comments