Header Ads

RATIBA YOTE YA MSIMU MPYA WA LIGI KUU YA VODACOM 2017/18



SeeBait
 
RATIBA ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2017-2018 imetoka. 
 
Pazia la Ligi Kuu inayorushwa moja kwa moja na Televisheni ya Azam, litafunguliwa rasmi Agosti 27, mwaka huu kwa timu zote 16 kuingia viwanjani.
   
AGOSTI 26, 2017
Ndanda Vs Azam -Nangwanda
Mwadui Vs Singida- Mwadui
Mtibwa Vs Stand – Manungu
Simba Vs Ruvu – Taifa
Kagera Vs Mbao -Kaitaba
Njombe Vs Prison- Sabasaba
Mbeya Vs Majimaji- Sokoine
 





No comments

Powered by Blogger.