Kocha wa timu ya taifa Taifa Stars ametaja majina ya wachezaji wanaounda kikosi cha Stars kwa ajili ya pambano la kimataifa la kirafiki dhidi ya Botswana Septemba 2. Nimekuwekea hapa orodha ya wachezaji hao, ambao kuna waliokuwepo na wengine wakiwa ni wapya.
Aish manula Mwadini Ally Ramadhan Kabwili
Boniphas Maganga Abdi Banda Gadiel Michael Kelvin Yondani Salum mbonde Erasto Nyoni
Humid Mao Hamiss Abdalah Mzamiru Yassin Said Ndemla Simon Msuva Shiza kichuya Farid Mussa Morel Ergenes
Raphael Daud Kelvin Sabato Mbwana samatta Elias Maguli
No comments