UEFA IMEREJEA TENA NA UHONDO WAKE, HUKU PSG IKIWA ROHO JUU JUU
Ligi ya Mabingwa Ulaya imerejea, sasa ni msimu wa 2017/18,
vigogo wote watakuwa uwanjani leo na kesho, beki wa PSG
, Thiago Silva ameenda mbele zaidi kwa kusema presha ni
kubwa kikosini kwao kutokana na usajili uliofanyika.
Silva anasema ujio wa Neymar na Kylian Mbappe utawafanya
wawe na presha kubwa kwa kuwa watu wengi watahitaji
mambo makubwa kutoka kwenye timu yao ambao inatarajiwa
kukipiga dhidi ya Celtic katika michuano hiyo.
PSG ipo nchini Scotland kwa ajili ya mchezo huo, ambapo
wababe hao wa Ufaransa, Paris Saint-Germain watakuwa
na nia moja tu ya kupata ushindi kwa kuwa mastaa
waliosajiliwa ni w agharama kubwa.“Tumeshasahau
yaliyopita katika msimu uliopita, tumejiandaa vizur
i kwa ajili ya mchezo huu na muhimu ni kupata
paointi tatu,” alisema beki huyo wa kati.
Ratiba ya michezo ya leo Jumanne ambayo yote itaanza saa 3:45 Usiku ni hii hapa
Celtic v PSG
Benfica v CSKA
Manchester United v Basel
Olympiakos Piraeus v Sporting CP
Bayern München v Anderlecht
Chelsea v Qarabağ
Roma v Atlético Madrid
Barcelona v Juventus
Benfica v CSKA
Manchester United v Basel
Olympiakos Piraeus v Sporting CP
Bayern München v Anderlecht
Chelsea v Qarabağ
Roma v Atlético Madrid
Barcelona v Juventus
Ratiba ya kesho Jumatano
Maribor v Spartak
Tottenham v Borussia Dortmund
RB Leipzig v Monaco
Feyenoord v Manchester City
Shakhtar v Napoli
Real Madrid v APOEL
Liverpool v Sevilla Anfield
Porto v Beşiktaş
Maribor v Spartak
Tottenham v Borussia Dortmund
RB Leipzig v Monaco
Feyenoord v Manchester City
Shakhtar v Napoli
Real Madrid v APOEL
Liverpool v Sevilla Anfield
Porto v Beşiktaş
No comments