HAYA NDIYO MAAMUZI YA LIVERPOOL BAADA YA MANE KUFUNGIWA MECHI TATU
Liverpool imesema itakata rufaa lie adhabu
ya kufungiwa mechi tatu iliyomkuta
mshambuliaji wake Sadio MAne.
Mane raia wa Senegal alimkanyaga
kipa Ederson wa Manchster wakati
Liverpool ilipokumbana na kipigo
cha mabao 5-0.
Tayari Mane alimuomba msamaha
kipa huyo lakini FA imeamua
kumfungia mechi tatu ingawa
Liverpool inaona si sawa kwa
kuwa tayari alipewa adhabu
ya kadi nyekundu uwanjani.
No comments