Mshambuliaji raia wa ufaransa ambaye ameuzwa kwa mkopo kwenye klabu ya PSG amefanya mazoezi kwa mara ya kwanza akiwa na kikosi hicho huku akionekana kuwa karibu na mchezaji ghali duniani raia wa Brazil Neymar jr.
Kwa sasa klabu ya PSG ndio inaongoza kuwa na forwads ya bei ghali duniani baada ya kutua kwa Kylian Mbappe na Neymar huku uwepo wa Edson Cavan ukiwa chachu ya kuongeza ubora wa kikosi hicho ambacho kipo chini ya matajiri kutoka nchi ya Qatar.
Akiwa mazoezini jana mbape alio nekana kuwa karibu na Neymar ambao kwa pamoja wamekutana baada ya kumaliza majuku ya timu zao za taifa,wachezaji hao wameonekana wenye furaha na bashasha baada muda mrefu kuonekana wanacheka na kutaniana,PSG inajiandaa kwa mechi za ligi kuu na zile za klabu bingwa ulaya ambazo zitaanza wiki ijayo kwa atua ya makundi.
No comments