Kikosi cha klabu ya Yanga kinaondoka leo asubuhi kuelekea
Njombe tayari kwaajili ya mchezo wake wa ligi kuu dhidi ya
Njombe Mji utakao chezwa jumapili ya tarehe 10.
Yanga inaondoka na wachezaji wake 26 katika msafara
huo na viongozi 12
wakiwemo 8 kutoka benchi la ufundi ambapo timu hiyo
itasalia huko huko
kwaajili ya michezo yake miwili ya ligi iliyopangwa
kwenye miji ya Njombe na Songea.
Soma kikosi cha Yanga
No comments