Rais wa La Liga, Javier Tebas ametoa malalamiko kuhusu wamiliki wa klabu ya Manchester City ambao pia ni wamiliki wa klabu ya PSG kutokana na matumizi makubwa ya kifedha yaliyofanywa na klabu hizo kwenye usajili msimu huu.
Lakini baadaye shirikisho la soka la UEFA limetoa majibu kuhusiana na barua iliyoandikwa na Rais wa La Liga kwa kusema kwamba shirikisho hilo halitaichunguza klabu hizo kwa sasa na taarifa nyingine kinyume na hapo ni uongo mpaka mwishoni mwa msimu.
No comments