MBAO FC YAPATA BASI JIPYA NA LA KISASA, UNAWEZA KULIONA HAPA...
Club ya soka ya Mbao FC leo Jumatano ya October 18 2017 imekabidhiwa mbele ya Naibu Waziri wa ardhi Angelina Mabula basi ambalo watalitumia katika safari zao mbalimbali katika mechi za Ligi Kuu na mazoezini.
Basi hilo ambalo ni sehemu ya makubaliano ya Mbao FC na mdhamini wao mpya GF Trick & Equipment, limekabidhiwa kwa mwenyekiti wa Mbao FC Solly Njashi.
Chanzo; millardayo,com
No comments