BREAKING NEWS; MAYANGA ABWAGA MANYANGA SIMBA
Mayanja ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo ya ukocha msaidizi ndani ya Simba huku sababu zikitajwa kuwa ni zake binafsi na wala hakuna kingine ila AyoTV na millardayo.com zinaendelea kufatilia kwa kina kujua chanzo.
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Jackson Mayanja alikuwa kocha msaidizi Simba toka akiwa na kocha Muingereza Dylan Kerr ambae baadae alifutwa kazi na nafasi yake Julai 1 2016 ikatangazwa kuchukuliwa na kocha Joseph Omog wa Cameroon.
Chanzo ni millardayo.com
No comments